15. CHA KUTUMAINI SINA
CHA KUTUMAINI SINA
1. Cha kutumaini sina
Ila damu yake Bwana,
Sina wema wa kutosha
Dhambi zangu kuziosha.
Chorus:
Kwake Yesu nasimma,
Ndiye Mwamba: ni salama
Ndiye mwamba: ni salama.
2. Njia yangu iwe ndefu
Yeye hunipa wokovu;
Mawimbi yakinipiga
Nguvu zake ndiyo nanga.
3. Damu yake na sadaka
Nategemea daima,
Yote chini yakiisha
Mwokozi atanitosha.
4. Nikiitwa hukumuni,
Rohoni nina amani;
Nikivikwa haki yake
Sina hofu mbele zake.
Kwake Yesu nasimma,
Ndiye Mwamba: ni salama
Ndiye mwamba: ni salama.
2. Njia yangu iwe ndefu
Yeye hunipa wokovu;
Mawimbi yakinipiga
Nguvu zake ndiyo nanga.
3. Damu yake na sadaka
Nategemea daima,
Yote chini yakiisha
Mwokozi atanitosha.
4. Nikiitwa hukumuni,
Rohoni nina amani;
Nikivikwa haki yake
Sina hofu mbele zake.
Comments
Post a Comment