27. MUNGU NI PENDO
MUNGU NI PENDO
1. Mungu ni pendo, apenda watu;
Mungu ni pendo, anipenda
Chorus:
Sikilizeni furaha yangu,
Mungu ni pendo, anipenda.
2. Nilipotea katika dhambi,
Nikawa mtumwa wa Shetani.
3. Akaja Yesu kunikomboa,
Yeye kanipa kuwa huru.
4. Sababu hii namtumikia,
Namsifu yeye siku zote.
Sikilizeni furaha yangu,
Mungu ni pendo, anipenda.
2. Nilipotea katika dhambi,
Nikawa mtumwa wa Shetani.
3. Akaja Yesu kunikomboa,
Yeye kanipa kuwa huru.
4. Sababu hii namtumikia,
Namsifu yeye siku zote.
Comments
Post a Comment