28. ANIPENDA NI KWELI
ANIPENDA NI KWELI
1. Anipenda ni kweli;
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
Kutulinda si zito.
Chorus:
Yesu anipenda,
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema.
2. Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazisafi taka,
Sana ataniweka.
3. Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Niliyelala chini.
4. Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.
Yesu anipenda,
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema.
2. Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazisafi taka,
Sana ataniweka.
3. Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Niliyelala chini.
4. Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.
Comments
Post a Comment